Nandy – Nimekuzoea [Lyrics]

Nandy – Nimekuzoea [Lyrics]

Nandy – Nimekuzoea [Lyrics]

(Kimambo on the beats)
Aiyayayaya aiyayayaya
Aiyayayaya aiyayayaya

Niko tu mi baby
Kama maji kwa mtungi
Nyonga buli baby
Nivute niiishi nibaki kishungi

Aii zuri baby
Nibandike nigande ka gundi
Maakuli nilishe nishibe
Kitumbo ndindi

 

Unanikoleza, unanichombeza
Unanilegeza ai wee
Ukianzaga ndani unayaweza kitandani
Kwenye meza tsunami, jeneza ni wee

Nakupenda, nakuwaza
Bora my oh, my boo boo
We nipende nikupende we

Nimekuzoea, nimekuzoea
Nimekuzoea nime nime nime
Nimekuzoea, nimekuzoea
Nimekuzoea nime nime nime
Nimekuzoea

Kazoea vyote, kazoea mpaka kazoea
Kabobea kote, abobea mpaka kabobea tena
Nalowea kote, nalowea mpaka nalowea
Inakolea yote, nakolea tamu kukolea tena

Nipo katikati nazungukwa na upendo
Sa ninatokea wapi? Kaziba kote hajaacha pengo
Wanafikaga wapi? Peku bila sendoff
Mfike saa ngapi vyote tembea kwa wako mwendo

Nakupenda, nakuwaza
Bora my oh, my boo boo
We nipende nikupende we

Nimekuzoea, nimekuzoea
Nimekuzoea nime nime nime
Nimekuzoea, nimekuzoea
Nimekuzoea nime nime nime
Nimekuzoea


No comments:

Post a Comment